Marehemu Omar Ndege Mgori

Mwili wa marehemu Omar Ndege Mgori unaondoka leo hii huko nchini India na utapokelewa siku ya Jumapili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Dar es salaam Saa Saba mchana siku hiyo.

Mazishi yatafayika siku ya jumatatu Oktoba 13,2014 kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.

Msiba kwa sasa upo Mbezi beach nyumbani kwa marehemu.

Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa pindi zitakapo kuwa zikitufikia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...