Maharusi Josephath Tendewa na Fides Assenga wakiwa kwenye nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta katika kanisa la Mtakatifu Joseph na baadae kufanyika kwa tafrija ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye ukumbi wa Urafiki Social hall,Sinza jijini Dar.

Maharusi wakiwa na wapambe wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...