Baadhi
ya Watanzania waishio Poland wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda (hayupo pichani) wakati
alipokutana nao mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Sheraton jijini Warsaw, Poland. Waziri Mkuu
alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu.
Mmoja wa Watanzania waishio Poland
wakiagana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda mara baada ya kukutana nao mwishoni mwa wiki
kwenye hoteli ya Sheraton jijini Warsaw,
Poland.
Waziri Mkuu alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu. (Picha na Irene Bwire wa OWM).
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiagana na
Mwenyekiti wa Watanzania waishio Poland (WAPO), Bw. Steven Sambali mara bada ya
kukutana nao na kuwaeleza mambo yanayoendelea nyumbani Tanzania. Waziri Mkuu
alikuwa nchini humo kwa ziara ya siku tatu.
NAAMINI KUWA KILA KIONGOZI ANAPO TEMBELEA NCHI ZA NJE NA KUKUTANA NA WATANZANIA HUKO HUWA WANATOWA MAONI YAO KULINGANA NA HALI YA TARATIBU NA BAADHI YA MAPUNGUFU YALIOMO KWENYE TARATIBU NNA SHERIA ZA NCHINI TZ, SWALI LANGU NI:HAWA VIONGOZI HUWA WANAFIKISHA HUO UJUMBE NA KUUFANYIA KAZI AU TUNAPOTEZA MDA KUTOWA WAONI YETU KWAOOOO? KWA MFANO UTAKUTA HALMASHAURI FULANI INACHANGISHA MCHANGO WA KUJENGA SHIMO LA CHOO CHA SHULE FULANI, AMRI KUWA KILA MWANANCHI Tsh 10000/= LAKINI WACHANGIAJI HAWAPEWI BUDGET YA SHIMO NI KIASIGANI KINATAKIWA TUCHANGIE??? HUO NI UONEVU KWA WASIOJUWA HAKI ZAO. INABIDI SERIKALI IFIKE PAHALI IWAHURUMIE WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI KWANI WANAHALI NGUMU KIMAISHA UKILINGANISHA NA VIONGOZI WETU MAFISADI.
ReplyDelete