Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo katika picha ya pamoja na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini za Kiislamu na Kikirsto kutoka Mikoa ya Mwanza na Geita. Wa pili nyuma kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati), akisalimiana na Askofu Zenabius Isaya na baadhi ya Viongozi wa Dini wa Kamati ya Amani kutoka Mikoa ya Mwanza na Geita. Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Paul Masanja na baadhi ya Maafisa wa Wizara.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, akisalimiana na Sheikh Hassan Kabeke mara baada ya kikao kilichojadili masuala mbalimbali kuhusu Wizara baina yao. Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Paul Masanja na baadhi ya Maafisa wa Wizara.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akieleza jambo wakati wa kikao baina yake na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini za Kiislamu na Kikiristo kutoka Mikoa ya Mwanza na Geita. Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Paul Masanja na baadhi ya Maafisa wa Wizara.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...