Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (wa nne kushoto),
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa tatu kulia), Mkuu wa
Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi (wa tatu kushoto), Katibu Tawala wa mkoa wa
Dodoma, Rehema Madenge, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano
(wa pili kulia), Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel, Arindam Chakrabarty (kulia)
wakipiga makofi baada ya kuzindua rasmi huduma mpya ya Airtel Money Timiza,
katika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma jana.
Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (wa tatu kushoto) akipongezana
na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa tatu kulia) baada
ya kuzindua rasmi huduma mpya ya Airtel Money Timiza mjini Dodoma jana. Kushoto
ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi, Katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma,
Rehema Madenge (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice
Singano (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel, Arindam
Chakrabarty (kulia).
Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (kushoto)
akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Money Timiza katika viwanja vya
Nyerere Square, mjini Dodoma jana.
Meneja
Uendeshaji kutoka kampuni ya Airtel Tanzania,Bwa.Asupya Naligingwa
akitoa maelekeo mafupi namna ya kutumia huduma hiyo mpya ya Timiza
wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma mpya ya Airtel Money Timiza,
katika viwanja vya Nyerere Square, mjini Dodoma jana.
Pichani kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso
akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Money Timiza katika viwanja vya
Nyerere Square, mjini Dodoma jana. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa
Airtel, Beatrice Singano.
Sehemu ya umati wa watu wakifuatilia uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Money Timiza katika viwanja vya
Nyerere Square, mjini Dodoma jana.
HABARI NA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI NA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...