Balozi WA Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Misaada na Mikopo ya FINEXPO ya Serikali ya Ubeligiji baada ya kumaliza kikao nao ofisini kwao Brussels leo. Balozi Kamala ameshauriana nao kuhusu miradi mbalimbali ya Tanzania inayoweza kufadhiliwa na Kamati ya FINEXPO.
Home
Unlabelled
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MISAADA NA MIKOPO YA FINEXPO YA SERIKALI YA UBELIGIJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...