
Dr Nelson Ishengoma akiwa katika pozi mara baada ya kutunukiwa shahada yake ya udaktari katika Mahafali ya Tano ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni hapo.
Hongera sana Mwalimu wangu na sasa Mwanzo wa Jina linaanza na Dr. Sio kazi rahisi lakini Mungu ameweza kukusimamia na kukuongoza. Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe zaidi na zaidi.
Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza
Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza
Hi Nelson
ReplyDeleteits good to know that u have fulfilled u r dreams and i believe can do more than that. sincere congratulations.
regards g mrema