SAM_0100
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Nabaki Afrika Hamish Hamilton akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi rasmi wa tawi kubwa la Arusha uliofanyika hivi karibuni
SAM_0113
SAM_0109
Kulia niTania Hamilton akiwa na mumewe mwenyekiti wa kampuni Nabaki Afrika Hamish Hamilton
SAM_0128
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Nabaki Afrika Hamish Hamilton akiwa anampa maelekezo mteja aliyetembelea tawi hilo siku ya ufunguzi hivi karibuni Nabaki Afrika imefungua rasmi tawi kubwa jijini Arusha eneo la njiro nyuma ya petro stationya BP katika jingo la RSA

Aidha mafanikio hayo yamepatikana baada ya kutoa huduma yake Arusha kwa miaka miwili katika tawi eneo nane nane njiro Arusha,Sambamba na kuzinduzindua tawi hili Nabaki Afrika imesherehekea miaka 20 tangu kuzaliwa kwake hapa Tanzania jijini Dar es saalam

Katika hatua nyingine Nabaki Afrika imejipanga zaidi katika kuboresha zaidi huduma kwa wateja wake ili kuwawezesha watanzania wote kufanya ujenzi bora na si bora ujenzi

Kwa upande wake msimamizi mkuu wa tawi hilo Jesse Madauda alisema kuwa watu mbalimbalii wajitokeze katika tawi hilo ili waweze kupata msaada zaidi katika ushauri na bidhaa zenye ubora wa hali ya juukatika ujenzi

Naye mwanzilishi wa kampuni hiyo Hamish Hamilton alisema changamoto pamoja na mafanikio waliyoyapata kupitia wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwa ni watu wakujituma katika kazi


Pia alisema kuwa kauli mbiu ya kampuni hiyo ni kuwa imejaribiwa imepimwa imeaminiwa na watanzania kwa mda mrefu sasa(Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...