Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa kauli kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto , Bungeni mjini Dodoma Novembe 17, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Fedha,Saada Mkuya (kulia) na Naibu wake, Mwigulu Lameck Nchemba kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 17, 2014.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr, Florance Turuka kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 17, 2014. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Juliet Kairuki.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (kushoto) akizungumza na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr, Florance Turuka kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 17, 2014. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Juliet Kairuki.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wanafunzi wa shule ya rwekiza ya Bukoba Vijijini kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 17, 2014. Kulia kwake ni Mbunge wa Bukoba Vijijini na mmiliki wa Shule hiyo, Jasson Rwekiza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Florance Turuka (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanznaia (TIC), Juliet Kairuki kutoka wenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Novemba 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...