Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Job Ndugai akiongoza Kikao cha Bunge leo Novemba 20,2014 mjini Dodoma.

Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda akizungumza, Bungeni Mjini Dodoma leo Novemba 20, 2014.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiteta na Baadhi ya wabuge na Mawaziri, Bungeni mjini Dodoma leo Novemba 20, 2014.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiteta jambo na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Mbunge wa Urarmbo, Mh. Samuel Sitta, Bungeni Mjini Dodoma leo Novemba 20, 2014.
 Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Mbunge wa Urarmbo, Mh. Samuel Sitta (kushoto) akijadiliana jambo na baadhi ya Wabunge wa Upinzani kutoka kulia kwake ni Mh. David Kafulila,Mh. David Silinde na Mh. Tundu Lissu.
 Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Singida Mashariki,Mh.Tundu Lissu (kulia) akimwonyesha nyaraka fulani Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Mh. Fredrick Werema,nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo Novemba 20,2014.
Mhe Andrew Chenge na Mhe. Richard Ndassa wakitafakari jambo wakati wakitoka katika ukumbi wa Bunge mjini Dododma leo Novemba 20,2014.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiteta na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Mh. Aggrey Mwanri (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Mh. Chiku Galawa, kwenye viwanja vya hoteli ya St. Gaspar Mjini Dodoma baada ya kufungua Kongamano la Ajira la Wakuu wa Mikoa, leo Novemba 20, 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...