Baadhi
ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi
wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent
Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es
Salaam leo.
Baadhi
ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi
wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent
Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es
Salaam leo.
Matinyi akisoma wasifu wa marehemu.
Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando akitoa salama za rambirambi.
Mhariri Mtendaji Mkuu wa New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda akitoa salam za rambirambi.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...