Barozi wa Norway Nchini Tanzania Anne - Marie Kaarstad akizungumza na waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu (kulia), alipomtembelea Ofisini kwake, mtaa wa Ruthuli jijini Dar es Salaam leo.
Anne Kristin Hermansen (kushoto),akiwa pamoja na Elisabeth Schwale wakisikiliza mazungumzo baina ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu na Barozi wa Norway Nnchini Tanzania Anne - Marie Kaarstad (hawapo pichani) walipomtembelea ofisini hapo leo.
Mchungaji Stella Matte akitoa shukrani kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu (kulia), kwa kuhudhulia semina waliyoandaa iliyohusu maswala ya uongozi, alipomtembelea ofisini kwake leo mtaa wa Ruthuli jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...