Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu
(katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Crescentius Magori (kulia) na Meneja Idara za Serikali na Balozi NSSF,
Rehema Chuma wakiwasili kwenye ukumbi wa mikutano wakati wa semina ya wadau wa
Kada ya Utumishi wa Idara na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF mjini
Bagamoyo.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori
akitoa akifafanua jambo wakati wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara na
Asasi za Serikali iliyoandaliwa na NSSF na kufanyika mjini Bagamoyo, mwishoni
mwa wiki. Wa pili kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, Meneja
wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma na
Meneja wa NSSF Mkoa wa Kibaha, Ummy Lweno.
Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu akitoa
hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa Kada ya Utumishi wa Idara
na Asasi za Serikali iliyoandaliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF) na kufanyika mjini Bagamoyo.
Meneja
wa Idara za Serikali na Balozi NSSF, Rehema Chuma akizungumza katika semina hiyo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...