Mfanyakazi wa Michuzi Media Group Bw. Salumu Mwingiriko a.k.a Manywele akifungua dansi na mkewe Kurthum Abubakar usiku wa kuamkia leo katika sherehe ya kumeremeta kwao iliyofana sana katika ukumbi wa Kilimanjaro katika Uwanja wa Sabasaba jijini Dar es salaam
Ankal na mai waifu wake wakipokea keki toka kwa maharusi kwa niaba ya wafanyakazi wa Michuzi Media Group
Picha ya pamoja na maharusi. Kulia ni Hamisi Makuka mpiga picha wa MMG
Maharusi wakiserebuka kwa furaha.
Wapendeza, Mabrook, Mabrook!!
ReplyDelete