

Meneja wa Ghetto Radio ya Sibuka FM 94.5 Bw. Edward Rukaka aliyeshika Mkasi ,akiizindua Rasmi Studio hiyo na kuitambulisha kwa wadau. kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Bahati nasibu Tanzania Bw. Abbas Tarimba akishuhudia uzinduzi huo.

Mkurugenzi wa Ghetto Radio Kenya Bw. Majimaji akizungumza wakati wa usiku wa kuzindua Rasmi Studio ya Kurushia matangazo ya Radio ya Ghetto Radio ya Sibuka FM Nchini Tanzania hivi karibuni
Mkurugenzi wa Sibuka George Nangali kulia akiwa na
Mkurugenzi wa Ghetto Radio Matt Brouwer wakati wa Sherehe Fupi za uzinduzi wa Studio hiyo iliyopo mtaa wa Hananasifu Kinondoni.

Mkurugenzi wa Ghetto Radio Matt Brouwer wakati wa Sherehe Fupi za uzinduzi wa Studio hiyo iliyopo mtaa wa Hananasifu Kinondoni.

Katikati ni Balozi wa Ghetto Radio ya Sibuka FM Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva Juma Nature wakati wa uzinduzi huo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...