Mfungaji wa bao pekee la Simba dhidi ya Ruvu Shooting, Emmanuel Okwi akishangilia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. 
 Kocha wa Simba, Patrick Phiri akikumbatiana na Okwi baada ya mchezo na tmu yake kupata ushindi wa kwanza tangu kuanza kwa Ligi.
Mashabiki wa Simba wakifurahia utadhani wamenyakua ubingwa.
Picha na Francis Dande wa Globu  ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. wamesahau kila kitu kina mwanzo wengi wamechukia ushindi wa simba

    ReplyDelete
  2. Washabiki wa Man U na Simba wamesababisha msongamano kwenye hospitali kwa maradhi yanayofanana: homa za vipindi, presha, kukosa usingizi, huduma duni nyumbani (kwa jinsia nyingine sijui)!

    Kazi kweli kweli!! Kweli ushabiki ni hatari!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...