Picha
ya pamoja, Baadhi ya wana kikundi cha UWF,
mwakilishi kutoka Tanzania Women Bank (TWB), Bi Khadija na Baadhi ya
washindi wa mradi huo wa Mwanamakuka tangu mwaka 2012 wakiwa katika
picha pamoja.
Pichani
kulia ni Mwenyekiti wa UWF na Meneja Mradi wa Mwanamakuka,Bi.Maryam
Shamo, akizungumza na Wanahabari (hawapo pichani) Mikocheni jijini Dar,mwishoni mwa wiki,kuhusiana na hafla
fupi ya kumkumbuka Marehemu Aziza Mbogolume,ambaye alikuwa mshindi wa
kwanza wa shindano la MWANAMAKUKA 2013.
Shindano hilo huandaliwa na kikundi cha
UNITY OF WOMEN FRIENDS (UWF),kupitia mradi wao wa MWANAMAKUKA, hafla
hiyo pia iliwakutanisha wadau mbalimbali wa kikundi hicho wakiwemo na
washindi wa mradi huo ambao umekuwa ukifanya vyema kila mwaka,Anaefutia
pichani ni Bi Jane Magembe, , Mwate Madinda
na Martha Kalaghe.
Mwenyekiti wa UWF na Meneja Mradi wa Mwanamakuka,Bi.Maryam Shamo,akionesha moja ya, kipaji cha marehemu Aziza, ambacho kilikuwa ni uchoraji.
Baadhi ya washindi wa mradi huo wa Mwanamakuka tangu mwaka 2012 wakijadiliana jambo,ambapo walikukutana kwa madhumuni ya kumkumbuka Mwanamakuka mwenzao aliyefariki.
Baadhi ya washindi wa mradi huo wa Mwanamakuka tangu mwaka 2012 wakijadiliana jambo,ambapo walikukutana kwa madhumuni ya kumkumbuka Mwanamakuka mwenzao aliyefariki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...