Leo Ankal amepata bahati ya kukutana na Maktech, kampuni inayojishughulisha na kutatua changamoto na kuweka mambo sawa katika uhandisi wa  TEKNOHAMA Tanzania. Pichani na Ankal akiwa na baadhi tu ya wadau wa Maktech ambao walimkaribisha kwa chakula cha mchana Ijumaa na kubadilishana naye mawazo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...