Mkuu
wa Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Bw. Frederick Kanga akipokea cheti cha
ushiriki kutoka kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
Mizengo Pinda wakati wa tuzo za mwajiri bora wa Mwaka 2014, tukio
lililoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) lililofanyika Mlimani City
jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkuu
wa Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Bw. Frederick Kanga (wapili kushoto)
akionyesha cheti baada ya benki yake kushiriki katika tuzo za mwajiri bora wa
Mwaka 2014, zilizoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) na kufanyika Mlimani
City jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakisikiliza
kinachojiri katika tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2014, zilizoandaliwa na Chama
cha Waajiri Tanzania (ATE) na kufanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam hivi
karibuni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...