Mkurugennzi msaidizi katika Idara ya Kamati kutoka Ofisi ya Bunge Ndg. Angumbwike Ng'wavi akitoa Mada kuhusu umuhimu kuwa na taarifa za  pamoja za kibunge kwa ajili ya wadau mbalimbali wa Bunge  na namna ya utekelezaji wake wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Bunge kutoka Serikarini na taasisi binafisi. Semina hiyo imeandaliwa na Bunge kupitia mradi wake wa kuwajengea Wabunge na Watumishi uwezo unaofadhiliwa na UNDP.
  Maafisa wa Serikali pamoja na Wadau mbalimbali wa Bunge wakifuatilia mada hiyo kwa makini.

 Afisa Habari wa Bunge Ndg. Owen Mwandumbya akitoa Mada kuhusu umuhimu wa Bunge kuwa na Mpango Mkakati wa Mawasiliano  wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo wadau wanaofanya kazi na Bunge kutoka Serikarini na Taasisi binafisi. Semina hiyo imeandaliwa na Bunge kupitia mradi wake wa kuwajengea Wabunge na Watumishi uwezo unaofadhiliwa na UNDP iliandaliwa kwa lengo la kuanisha changamoto zitazolikabili Bunge kushirikiana na wadau wake.
 Maafisa wa Serikali pamoja na Wadau mbalimbali wa Bunge wakifuatilia mada hiyo kwa makini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...