Dereva wa Boda boda akiwa amepenya katikati ya magari mawili bila kujali usalama wake kama aonekanavyo pichani,mara baada ya kunaswa na Camera ya Globu ya Jamii iliyokuwa ikijivinjari mtaa wa Jamhuri,jijini Dar mapema jioni ya leo.Pichani Kulia ni  dereva akitoa maneno ya kumuonya dereva huyo wa boda boda kuacha tabia ya kulazimisha kupita sehemu ambayo inahatarisha usalama wa maisha yao,lakini hata hivyo  Dereva huyo wa boda boda alionekana kutojali kwa kile alichokuwa akiambiwa badala yake aliendelea na safari yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wajinga sana madereva wa bodaboda ingawa wao wanajiona wajanja sana.

    ReplyDelete
  2. Kweli ajali nyingine ni za kununua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...