Home
Unlabelled
HAYA NDIYO YALIYOSEMWA NA VIONGOZI WA DINI KATIKA SIKU YA XMAS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kikwete ana busara ya uongozi. Ameshamuondoa Prof. Tibaijuka baada ya kuridhika na ushahidi uliopo. Sasa hivi anasubiri uchunguzi ukamilike ili afanye maamuzi juu ya Tanesco na Prof. Muhongo na Maswi na wengine. Watu wengi wanaolalamika kwamba raisi Kikwete ni kiongozi dhaifu na hafifu mnafanya makosa. Mpeni raisi muda akamilishe kazi yake muone atakavyowashugulikia wote walioshiriki kwenye ufisadi.
ReplyDeleteUngetuwekea maneno ya kakobe uone alivyowapa laivu wazandiki....hakuzunguka mbuyu kwakua huu sio wakati wa kutumia methali na misemo watu wametia pamba masikioni....
ReplyDelete