Wapendwa wanangu Sizelina, Kilian, Henrich/Kenny, Frolence na wajukuu Kilian /Mzungu na Maria Henrick, ndugu zangu na wa Tanzania wote na wa South Africa wote sisi Bwana na Bibi Marolen na wajukuu zetu Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson tunawatakia furaha na amani ya mwaka mpya wa 2015 uwe wa baraka, mafanikio na upendo na amani kwenu wote. 

 Watoto Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson wanasema next year, new year we will be there with dady Kilian and Henrick and aunt Size, and our young brother Mzungu and sister Maria. We love you all Tanzanians and South Africans and karibuuuuu to Canton Ohio!
Wajukuu wa Mama Bishanga Maria Kilian Kamota na Lailai Johnson
Christina Marolen - Mama Bishanga Bashaija
Bw. Marolen
Mama Bishanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...