Kitabu kinauzwa shilingi 10,000/- tu na kwa hapa Dar es salaam kinapatikana Posta Mpya ndani ya DAR ES SALAAM BOOKSHOP au nikipigiwa simu namba 0653808032 kitawafikiwa wateja popote walipo, pia natafuta wasambazaji mikoani.
Hiki ni kitabu kinachomsaidia mtu kujitambua na kutambua vipaji alivyonayo ili aweze kuvitumia kuchagua maisha anayoyataka na baada ya hapo kimesheheni mbinu nyingi zitakazomwezesha mtu kuishi na kufanikiwa katika maamuzi aliyoyafanya.
Kimeshawasaidia wengi waliokisoma.
Mimi ni mtaalamu wa saikolojia, sosholojia na ujasiriamali, kazi yangu ni kufundisha na kushauri katika maeneo hayo yote napatikana hapa Dar es salaam, nina mtandao wa kiofisi unaitwa www.truemaisha.com.
Mtunzi wa kitabu hicho Bw. Erick Chrispin
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...