Mkurugenzi
Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi Tanzania (TDL), David Mgwassa
(katikati), akiwa Meneja Masoko wa kiwanda hicho, Joseph Chibehe
(kushoto) na Meneja Bidhaa wa TDL, Warda Kimaro wakionesha vinywaji
vipya aina ya Zanzi Chocolate (ladha ya Chokoleti) na Zanzi Cappuccino
(ladha ya kahawa) wakati wa uzinduzi wa wa vinywaji hivyo uliofanyika
katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam.
Mgwassa akielezea ubora wa vinywaji hivyo.
Meneja Masoko wa TDL, Joseph Chibehe akitaja bei ya kuuzia vinywaji hivyo, ambapo chupa ndogo yenye ujazo wa ml 200 itauzwa kwa sh. 6,000 na chupa kubwa yenye ujazo wa ml 750 itauzwa kwa sh. 20, 000
Meneja wa Bidhaa wa TDL, Warda Kimaro akielezea jinsi vinywaji hivyo vinavyosambazwa kwenye maduka makubwa ya Super Market nchini.
Mgwassa akielezea ubora wa vinywaji hivyo.
Meneja Masoko wa TDL, Joseph Chibehe akitaja bei ya kuuzia vinywaji hivyo, ambapo chupa ndogo yenye ujazo wa ml 200 itauzwa kwa sh. 6,000 na chupa kubwa yenye ujazo wa ml 750 itauzwa kwa sh. 20, 000
Meneja wa Bidhaa wa TDL, Warda Kimaro akielezea jinsi vinywaji hivyo vinavyosambazwa kwenye maduka makubwa ya Super Market nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...