Taswira za kuwasilisha Hati za Utambulisho za Mhe. Balozi S Marmo kwa Baba Mtakatifu Francis, mjini Vatican-Roma, Italia. Mhe. aliwasilisha Hati za Utambulisho kwa Baba Mtakatifu Francis katika makao yake ya Vatican, Roma. Katika sherehe hizo kulikuwepo pia na Mabalozi wengine 12, watatu kutoka Afrika, nao ni Mali, Rwanda na Togo. Anakuwa Balozi wa Tanzania Holy See mwenye makazi yake Berlin, Ujerumani.
 Mhe. Balozi S Marmo kwa Baba Mtakatifu Francis, mjini Vatican-Roma, Italia.
Mhe Marmo na Mke wake Nuruana Sulle wakiwa na Baba Mtakatifu Francis
Mhe Marmo na mke wake Nuruana Sulle Marmo na Maofisa wa Ubalozi wakipata picha ya kumbukumbu na Baba Mtakatifu Francis
Mhe. Balozi S Marmo na  Baba Mtakatifu Francis, mjini Vatican-Roma, Italia.
Mhe Marmo na Mke wake Nuruana Sulle Marmo na Maofisa wa Ubalozi wakiondoka Vatican baada ya hafla hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...