Marehemu Madesho Moye(wakati wa uhai wake) akiwa amebeba kikombe mara baada ya kukabidhiwa baada ya kuwa washindi katika mashindano ya Pasaka yaliyofanyika nchini Kenya |
![]() |
Watoto wa Marehemu Madesho Moye wakiongozwa na, Raymond Madesho(katikati) mchezaji wa timu ya Panone FC inayoshiriki ligi daraja la kwanza wakiweka shada la maua katika kaburi la Baba yao. |
Na Dixon Busagaga wa Globu
ya jamii
Kanda ya kaskazini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...