Marehemu Madesho Moye wa pili kutoka kulia (waliopiga magoti)akiwa na kikosi cha timu ya soka ya Moshi veterani ya mkoani Kilimanjaro kilipofanya ziara nchini Kenya April Mwaka huu katika mashindano ya kombe la Pasaka ambalo timu hiyo ilifanikiwa kunyakua.
Marehemu Madesho Moye(wakati wa uhai wake) akiwa amebeba kombe baada ya kufanikiwa kushinda kikombe
hicho katika mashindano ya Pasaka ambayo huandaliwa kila mwaka na mamlaka  ya bandali ya nchini Kenya.
Marehemu Madesho Moye(wakati wa uhai wake) akiwa amebeba kikombe mara baada ya kukabidhiwa baada ya kuwa washindi katika mashindano ya Pasaka yaliyofanyika nchini Kenya
Watoto wa Marehemu Madesho Moye wakiongozwa na, Raymond Madesho(katikati) mchezaji wa timu ya Panone FC inayoshiriki ligi daraja la kwanza wakiweka shada la maua katika kaburi la Baba yao.
Na Dixon Busagaga wa Globu 
ya jamii Kanda ya kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...