Mwenyekiti wa CCM shina la Essex UK Bi Maryam Seif akiwakilishwa na Mjumbe na mwanachama hai wa CCM (UK) Bw. Bilal akikabidhi msaada wa Deepfreezer kwenye kituo cha Yatima Magomeni Dar es Salaam. 
Msaada huo pia ulishirikisha Charity ya Sunrise Development Association Limited (UK). Azma ni kusaidia kituo hicho kupata mradi wa kuwawezesha kujikimu katika kulea Yati
 Mama Mlezi kushoto akiwa na mmoja wa Yatima hao na kulia ni kada wa CCM Magomeni.
 Baadhi ya Yatima wakiwa na walezi wao.
Bwana Bilal akiwa na mama mlezi na mmoja wa Yatima katika kutoa msaada wa Deepfreezer pamoja na Voltage Regulator.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Allah akualiyeni kila la kheir hapa duniani na kesho akhera hivi ndo inavyotakiwa kuwa na moyo wa kutoa hasa hasa kwa mayatima.

    mdau NY

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...