Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya,Mad Ice akiangusha bonge moja la show sambamba na bendi yake katika Music Planet iliyofanyika Samaki Samaki mpya ya Masaki,jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyoisha.
Dj Cartel the undisputed champion 4 rounds wins all by K.O akifanya yake ndani ya Music Planet iliyofanyika Samaki Samaki mpya ya Masaki,jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyoisha.
Masai wakiimba nyimbo zao juu ya mangoma makali kutoka kwa DJ Gabi ikiwa ni mambo ya Music Planet iliyofanyika Samaki Samaki mpya ya Masaki,jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyoisha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...