Mchungaji Dickson Kiwori akifurahia na mkewe baada ya kubarikiwa rasmi  kuwa mchungaji katika Ibada iliyofanyika Jumamosi katika Kanisa LA KKKT usharika wa Sonu Masama katika Ibadan iliyoongozwa na Askofu Dkt.Martin Shao
 Mke Wa Mchungaji mpya Dickson Kiwori Hilder Akimlisha mumewe kipande cha ndafu wakati Wa Sherehe  ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
Mchungaji mpya Dickson Kiwori  akipongezwa wakati Wa Sherehe  ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro
 Ndafu wa sherehe
Mchungaji mpya Dickson Kiwori  akishukuru wakati Wa Sherehe  ya kumpongeza iliyofanyika Huko Usharika Wa Sufi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...