Waziri  wa Biashara,  Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe: Nassor Ahmed Mazuri akipokea maandamano ya watu wenye ulemavu wakati wakipita mbele yake kwenye siku ya maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu duniani ambapo kitaifa kwa Zanzibar yaliofanyika mjini Chakechake, Pemba 
 Baadhi ya watu wenye ulemavu wakimsikiliza mgeni rasmi Waziri wa biashara na viwanda Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazuri aliekuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya watu wenye duniani ambayo kitaifa kwa Zanzibar yalifanyika mjini Chakechake Kisiwani Pemba
 
 Waziri  wa Biashara,  Viwanda na Masoko Zanzibar Mhe: Nassor Ahmed Mazuri akiwapungia mkono watu wenye ulemavu wakati wakipita mbele yake kwa njia ya maandamano kwenye siku ya maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu duniani ambapo kitaifa kwa Zanzibar yaliofanyika mjini Chakechake, Pemba 
  Wanafunzi kutoka  Tumbe Mkoa wa Kaskazini Pemba wakitumbuiza mshindo wa dufu kwenye maadhimisho ya siku ya watuwenye ulemavu duniani ambapo kitaifa kwa Zanzibar yaliofanyika mjini Chakechake, Pemba. 
 Afisa tawala mkoa wa kasakazini Pemba Khamis Salim Mohamed akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya watuwenye ulemavu dunia ambapo kitaifa kwa Zanzibar yaliofanyika mjini Chakechake Pemba. 
Waziri wa Biashara, Viwanda na masoko Zanzibar Mhe: Nassor Ahmed Mazurui akizungumza na wananchi mbalimbali waliohudhuria kwenye maadhimisho ya siku ya watu wenye duniani ambapo kitaifa kwa Zanzibara yaliofanyika kisiwani Pemba  Picha zote na Haji Nassor, Pemba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Easy n simple even red carpet tells

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...