Familia
ya Marehemu Mzee Gwerino Kibassa inasikitika kutangaza kifo cha Dk
Julius Kibassa wa Hindu Mandal kilichotokea juzi usiku(Ijumaa Nov 28)
nyumbani kwake Upanga Dar es salaam.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwake Nyabula,Mkoani Iringa siku ya Jumanne tarehe 2 Disemba. Habari
ziwafikia ukoo wa akina Kibassa wote, ukoo wa akina Kihalalwa wote,
ukoo wa akina Odunga wote, ndugu jamaa na marafiki popote pale walipo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...