MAREHEMU ANTHONY LUPILYA (R.I.P)

FAMILIA YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA (R.I.P) WA MJINI MWANZA INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTOTO WAO MPENDWA ANTHONY LUPILYA (R.I.P) KILICHOTOKEA JANA ALFAJILI TAREHE 25/12/2014 KATIKA HOSPITALI YA SEKOTURE MJINI MWANZA. 

MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 27/12/2014 NYUMBANI KWA MAREHEMU ANDREA C. LUPILYA YAKIFUATIWA NA IBADA ITAKAYO ANZA SAA NANE MCHANA NA BAADAE KUELEKEA MAKABURI YA KAKEBE - NYAKATO MWANZA. 

HABARI ZIWAFIKIE UKOO WOTE WA MAREHEMU A. LUPILYA, UKOO WA BABU ANDREA, UKOO WA BIBI KADO, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI POPOTE PALE WALIPO.  BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.

KWA MAWASILIANO ZAIDI: PIGA SIMU HII: 255-767-246-233 / 255-657-621-427

IMETOLEWA NA FAMILIA YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...