
Wachezaji wa Timu ya EALA waliovalia jezi rangi ya blue wakipambana na wenzao timu ya Burundi.
Timu ya wabunge wa EALA wameicharaza mabao manne kwa mbili timu ya Burundi jana katika Uwanja Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ikiwa ni muendelezo wa mashindano ya wabunge Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Mchezaji
mahiri wa timu ya Eala John King aliipatia mabao 3 timu yake dakika ya 9
na 21 kipindi cha kwanza hali iliyosabaisha mashabiki waliomiminika
katika uwanja huo kumshangila
Kipindi cha pili hali ilibadilika baada ya timu ya Burundi kujipatia mabao mawili dakika ya nne na dakika ya 18, mpigaji wa magoli hayo ni Simon Gahinja
Kipindi cha pili hali ilibadilika baada ya timu ya Burundi kujipatia mabao mawili dakika ya nne na dakika ya 18, mpigaji wa magoli hayo ni Simon Gahinja
Baada ya mchuano mkali wa timu zote mbili ,Eala waliongeza bao la 4 lililofungwa na mchezaji Wilyclif Keto dakika ya 25 baada ya kupata penalt dakika 33 ambapo mpigaji penalt alikosa baada ya mlinda mlango wa Burundi Ibrahim Uwizey kudaka
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...