WASHIRIKI ambao ni waalimu wa vyuo mbali mbali kisiwani
Pemba, kikiwemo chuo cha amali Vitongoji Chakechake, wakimsikiliza Afisa wa
mafunzo ya amali Pemba, mwalimu Othuma Zaidi Othaman wakati akielezea umuhimu
wa mafunzo kwa waalimu hao, juu ya namna ya kuandaa mitihani kwa njia ya kisasa
MRATIBU wa Mamlaka ya mafunzo ya amali Pemba mwalimu
Juma Suleiman, akimkabidhi mmoja wa waalimu wa vyuo mbali mbali ambao
wamemaliza mafunzo yao ya siku kumi ya kuwapa mbinu waalimu ya usomeshaji na
utungaji mitihani kitaalamu
AFISA Mdhamini wizara ya elimu Pemba Salim Kitwana
Sururu akizungumza kwenye sherehe za siku ya wazazi zilizofanyika uwanja wa
tenis mjini Chake chake ambapo, ziliandaliwa na skuli ya maandalizi ya Star ya
Kichungwani Chakechake. Picha na Haji Nassor, Pemba
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...