Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh Bernad Membe akikimbia katika mazoezi ya JOGGING,yaliyofanyika leo jijini Dar,katika mazoezi hayo Mh. Membe alifanikiwa kukimbia kilometa nane na ushehe,zilizokuwa zimepangwa.Aidha Jogging hiyo ilishirikisha club za Jogging 83 kutoka mkoa mzima wa jiji la Dar.Jogging hiyo iliandaliwa na club ya Jogging ya Mikocheni.Pichani kwa Waziri Membe ni Meya wa Manispaa ya Kinondoni,Mh.Yusufu Mwenda
Pichani juu ni baadhi ya vikundi mbalimbali wakishiriki Jogging hiyo mapema leo jijini Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...