Meneja huduma Vodacom Tanzania,Simon Martin,akitoa mafunzo kwa baadhi ya jeshi la polisi makao Makuu ya Trafiki Dar es Salaam juzi,jinsi ya matumizi ya simu za mkononi kwa kutumia Intaneti na kumiliki simu bila ya kuazimana.
Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani nchini Kamanda Mohamed Mpinga(kushoto)akimuuliza swali Meneja huduma wa Vodacom Tanzania, Simon Martin(kulia) wakati alipokuwa akitoa mafunzo maalumu kwa baadhi ya Maofisa wa jeshi la polisi makao Makuu ya Trafiki Dar es Salaam jinsi ya matumizi ya simu za mkononi kwa kutumia Intaneti na kumiliki simu bila ya kuazima.
Baadhi ya Maofisa wa jeshi la polisi makao Makuu ya Trafiki Dar es Salaam wakifatilia mafunzo maalumu ya jinsi ya matumizi ya simu za mkononi kwa kutumia Intaneti na kumiliki simu bila ya kuazima yaliyotolewa na Ofisa wa Vodacom Tanzania juzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...