Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.
Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
 Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. hongera zitto kaba ( sio kabwe tena) , endelea kuikaba serikali na vyombo vyake vyenye kuhujumu raia , bado hii bei inatakiwa ishuke zaidi kutokana na maelezo ya zitto kaba

    ReplyDelete
  2. Mpaka Mh Zito atoe tamko na nyie ndio mnashusha bei ya mafuta leo wakati Dunia nzima imeshashusha bei kwenye mafuta siky nyiiiingi sana au niwaulize nyie mnaagiza mafuta toka Mars?

    ReplyDelete
  3. hii si mara ya kwanza kwa EWURA kushusha bei ya mafuta, msipeane sifa za kijinga.

    ReplyDelete
  4. EWURA inalinda maslahi ya wafanya biashara badala ya kulinda maslahi ya Wananchi, ingekuwa nchi nyingine Uchunguzi ungefanyika ndani ya EWURA na watu wangewajibishwa maana haiwezekani Dunia nzima imeshusha Bei ya mafuta lakini Tanzania inakuja kushusha bei zake leo! Yaani hawa watu hawajari kabisa maamuzi yao na kuyatambua kwamba yanaathiri kabisa Uchumi wa Taifa kwa Ujumla pamoja wananchi...

    Hivi Sasa pesa iliyopungua kwenye bei ya mafuta Wananchi wanaweza kuipeleka katika maswala mengine ya Manunuzi na kuongeza Uchumi wa Taifa na kujiendeleza nafsi zao kwa njia mbalimbali na kupunguza ugumu wa maisha kwa ujumla (deflation)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...