Wawakilishi kutoka katika Mfuko wa GEPF pamoja na kampuni za PSM Archtect, M/S Interconsult Ltd na Matawana Consulting Group wakijadiliana kabla ya kutiliana saini kwa mkataba wa makubaliano katika Ujenzi wa 'Shopping mallas' katika mikoa ya Morogoro na Kilimanjaro.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Daud Msangi (alieketi kulia) pamoja na Meneja wa Mradi kutoka PSM Archtect Co Ltd,Peter Matinde wakifurahia jambo pamoja na wawakilishi kutoka taasisi zao,wakati wa kutiliana saini mkataba wa makubaliano katika Ujenzi wa 'Shopping mallas' katika mikoa ya Morogoro na Kilimanjaro.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Daud Msangi (alieketi kulia) pamoja na Meneja wa Mradi kutoka PSM Archtect Co Ltd,Peter Matinde (alieketi kushoto) wakitiliana saini mkataba wa makubaliano wa Ujenzi wa 'Shopping mallas' katika mikoa ya Morogoro na Kilimanjaro,katika ukumbi wa Mikutano wa Mfuko huo Victoria,jijini Dar es Salaam.Wanaoshuhudia toka kulia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji (GEPF),Festo Fute, Mkurugenzi wa Fedha (GEPF), Coster Mpagike, Mkurugenzi wa Uendeshaji (GEPF),Anselim Peter, Mhandisi Richard Shumbusho (Inerconsult) na Amedeus Chacky kutoka Matawana Consulting Group
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Daud Msangi (wa tatu kulia) pamoja na Meneja wa Mradi kutoka PSM Archtect Co Ltd,Peter Matinde wakikabidhiana rasmi mkataba wa ujenzi wa ‘shopping malls’ katika mikoa ya Kilimanjaro (Karanga) pamoja na Mkoa wa Morogoro (Kihonda) huku wakishuhudiwa na wawakilishi wao pamoja na Afisa mwandamizi wa kitengo cha manunuzi cha GEPF,Charles Mnyeti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Huu uwekezaji uungwe mkono tuendeleze mikoa yetu pia kwa kuwekeza vitega uchumi kama hivi.

    ReplyDelete
  2. Hakika huu uwekezaji ni mzuri.. si Hongereni GEPF na Jeshi la Magereza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...