Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akihutubia maelfu ya waumini wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Kanisa Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam katika kanisa la Mtakatibu Alban Jumapili.
Waziri Membe akishiriki kusali na waumini wa kanisa la Anglikana Tanzania
Waziri Membe akirekebisha hotuba yake kabla ya kuisoma katika maadhimisho ya miaka 50 ya Jubilee ya Anglikana Tanzania
Sehemu ya umati wa waumini walioungana na Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania Mh.Bernard Membe katika maadhimisho ya miaka 50 ya Jubilee ya Anglikana Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. At this juncture this is the kind of message the nation requires: powerful, relevant and timely. Thanks you Hon. Membe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...