Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe January Makamba akisaini kitabu cha Mazungumzo na January Makamba kabla ya kumpa nakala Waziri wa Sheria na katiba Dkt Asha-Rose Migiro jijini Dar es salaam
 Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe January Makamba baada ya kumpatia kitabu cha "Mazungumzo na January Makamba" kabla ya kumpa nakala Waziri wa Sheria na katiba Dkt Asha-Rose Migiro jijini Dar es salaam. 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Tunahitaji wazawa waandike zaidi kuhusu mambo yanayohusu nchi yetu, watu wake na matarajio yao.

    ReplyDelete
  2. Hii ni hatua nzuri inayopashwa kuigwa na wengi. Namuunga mkono raisi mstaafu Mwinyi viongozi wa ngazi zote waandike kuhusu maeneo yao na harakati zao za kuleta maendeleo ya nchi ikiwemo changamoto mbalimbali na jinsi ya kuzikabili zitakazosaidia kizazi hiki na kijacho.

    ReplyDelete
  3. Kila la heri.....ni wewe au kuna mwengine????

    ReplyDelete
  4. Hapo Kitabu YALIYOMO, KALI. Huko N. Mandela aliko anasema J. Makamba ni kiongozi asilia aliyeelimika. Hongera.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...