Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku Galawa jana wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi
unaoendelea Mkoani Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mathias Chikawe (katikati)
wakiongozana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu
pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku Galawa kuingia
ukumbini kwenye hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu
waandamizi wa Jeshi la Polisi unaoendelea Mkoani Dodoma.
Baadhi ya maafisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi wakiimba
wimbo wa maadili ya ofisa wa polisi jana kwenye ufunguzi wa
mkutano wa wakuu hao unaoendelea Mkoani Dodoma.(Picha na Hassan
Mndeme-Jeshi la Polisi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...