Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akilakiwa na wananchi wa kijiji cha Damai Kondoa alipowasili kijijini hapo Januari 13,2015 kuzindua msimu wa kilimo Mkoa wa Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akiwaelezea wananchi wa kijiji cha Damai Kondoa malengo ya kuzindua msimu wa kilimo mwaka 2015 Mkoani Dodoma Januari 13,2015.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akiwaelekeza wakina mama wa kijiji cha Damai Kondoa namna bora ya kupanda kwa nafasi wakati wa uzinduzi wa msimu wa kilimo mwaka 2015 Mkoani Dodoma Januari 13,2015.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...