Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalumu) Profesa Mark Mwandosya (wa tano kulia)  akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ntaba, Bi. Rebecca Hyera (wa nne kulia) kuhusu sehemu ya Mradi wa Umwagiliaji maji wa Katela - Ntaba ambapo limejengwa ghala la mazao ya mpunga na kakao.
Ujenzi wa ghala umetokana na upotevu wa mazao baada ya kukosekana hifadhi.Utawasaidia pia wakulima kupata bei nzuri kwa kuamua wao wenyewe wakati mzuri wa kuuza ziada ya mazao. Ghala hilo lililojengwa kwa nguvu ya wananchi lina uwezo wa kuhifadhi  tani 60 za mazao.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya akipita kwenye kivusha maji cha Mradi
wa umwagiliaji Katela - Ntaba wakati akikagua  Miradi ya Ujenzi Busokelo,Rungwe Mashariki, mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya akipita maelezo ya Banio la mradi wa umwagiliaji wa Katela-Ntaba.
wakati akikagua  Miradi ya Ujenzi Busokelo,Rungwe Mashariki, mkoani Mbeya

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya katika picha ya pamoja na watendaji,viongozi na wananchi baada ya kukagua ghala ya mazao ya Mrafi waumwagiliaji wa Kasysbone-Kisegese.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...