Mwenyekiti wa chama cha Wananchi CUF. Prof, Ibrahim Lipumba alipokuwa akiwashukuru wananchi wa Buguruni Dar es Salaam leo kwa kupiga kura na kukipa ushindi mkubwa na imani walio ionyesha kwa wagombea wa chama hicho kuwezesha kunyakuwa mita 5 na Chama cha Mapinduzi CCM kunyakuwa mta 1, nakuwaomba wananchi wazidi kuwa na imani na cha hicho.(PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Mjumbe wa Chama cha Wananchi CUF na Kiongozi wa Sanaa Mshikamano cha Temeke Shamte Mpendaraha alipokuwa akisoma risala kabla ya mgeni Rasmi kuongea.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Mpenda-Raha bwana, mbele ya kiongozi wa kitaifa lakini hata nywele hajachana!!
ReplyDelete