Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalum), Prof. Mark Mwandosya akizindua maktaba ya kisasa binafsi iliyoanzishwa na Prof. Tory Mbwete nyumbani kwake Mavurunza B. jijini Dar es salaam. Anayeshuhudia uzinduzi huo ni Mama Halima Mbwete. Waziri Mwandosya amewataka wasomi hasa maprofesa kuiga mfano wa mwenzao ilikuweza kukuza elimu hapa nchini.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya akisalimiana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu huria wa kwanza kilipo anzishwa, Prof. Geoffrey  Mmari walipokutana katika uzinduzi wa maktaba ya kisasa iliyo anzishwa na Makamu Mkuu chuo kikuu huria Prof Tory Mbwete (wa pili kushoto). Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji TCU Bw.  Yunisi Mgaya. Maktaba hiyo ipo Mavurunza B nyumbani kwa Profesa Mbwete.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya akisalimiana na Mkurugenzi wa Mawasiliano na masoko wa Chuo kikuu huria Tanzania,Dr. Heriet Heller pamoja na wana kamati wenzake walio weza kufanikisha hafla hiyo ya uzinduzi.
Wageni waalikwa wakishuhudia uzinduzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. I don't get it, what is it exactly?

    ReplyDelete
  2. Anonymous wa kwanza hapo juu visit http://mbwettelibrary.com/index.html

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...