Mhandisi  Emmanuel Manirabona akiwaeleza  wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa  habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo


Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya  akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini





Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya  ambazo zilizokatwa na wanaodaiwa kuwa wezi  waliofika katika kituo hicho na kufanya uharibifun

Enginia Emmanuel Manirabona akiwa kati eneo la kipawa akionyesha kwa wandishi wa habari sehem mbalimbali za kituo cha kipawa 



wafanyakazi wa kituo cha kusafirishia na,Changome  kupelekea umeme katika maeneo ya Changome ,Buguruni ,Tandika wakiwa kazini


Enginia Emmanuel Manirabona afisa usafirishaji akitoka katika chumba cha kuhifadhia mitambo ya umeme iliyopo chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa  habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...