Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Mhandisi Decklan Mhaiki akizungumza na wanahabari mara baada ya kutembelea maeneo mbali mbali ya kituo cha cha kulea Watoto Yatima cha CHAKUWAMA,ambapo amefarijika sana kuona maendeleo ya watoto katika kituo hicho.ambapo waliweza kuwapatia watoto hao vifaa vya shule na vyakula kama sehemu ya mchango wao.Kituo hicho kipo Sinza Mori,Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha CHAKUWAMA,Hassan Hamis (kulia) akitoa maelezo ya kituo hicho kwa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Mhandisi Decklan Mhaiki wakati alipokuwa akimtembeza kwenye maeneo mbali mbali ya Kituo hicho.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Leila Muhaji.
Afisa wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Khadija Ahmed (kati) akimnyesha maziwa Mtoto Badra mwenye umri wa miezi saba (7) anayelelewa kwenye kituo hicho baada ya kutupwa na Mama yake nje ya kituo hicho akiwa na miezi mitano (5).wanaoshuhudua ni Queen Mwashinga (kulia) na  Henry Kilasila.
Mmoja wa maafisha wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Lusajo Mwakabuku akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),Mhandisi Decklan Mhaiki (mwenye shati jeupe walioketi mbele) wakati walipowatembelea na kusherehekea nao mwaka mpya 2015,watoto wanaolelewa kwenye kituo cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza Mori,jijini Dar es salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

WAFAHAMU ZAIDI TANESCO KUPITIA LINK ZIFUATAZO:-

www.umemeforum.blogspot.com
www.twitter.com/tanescoyetu
www.facebook.com/tanescotz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...