Si mara nyingi wadau hawa hukutana namna hii. Ila wakati wa mnuso wa kumuaga bosi wa taasisi ya Twaweza Rakesh Rajani jana jioni pale viwanja vya Karimjee ilikuwa tofauti. hapo mpiga picha aliambiwa apige full yaani viatu vionekane. Wao kwa pamoja tena bila kuambiwa na mtu wakainua miguu kumuonesha hivyo viatu. Kutoka kushoto ni Othman Michuzi, Masoud Kipanya, Nathan Mpangala "Kijasti", Evans Bukuku "Mnyambala", David Kyungu, Robert Mwampembwa "Bi Mkora", David Chikoko (Cartoonist wa the Guardian) na Ankal
Home
Unlabelled
TASWIRA YA MWAKA YA WADAU WA KUCHEKESHA NA KUHABARISHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...