Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akiwahutubia mamia ya vijana baada ya kupokea matembezi ya mshikamano na kufanya mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Magogoni Kwa Mabata mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kupongeza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibr Dr. Ali Mohamed Shein aliyoitoa tarehe 12/1/2015 katika viwanja vya Amani mjini Zanzibar.

 Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mjini Ndugu Borafya Silima wakati akiwasili katika viwanja vya Magogoni kwa Mabata kwa ajili ya kupokea matembezi ya vijana mshkamano na kuwahutubia.
  Vijana kutoka majimbo mbalimbali wakiwa wamekaa katika mkutano huo.
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye viwanja vya Magogoni kwa Mabata wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo wa kuipongeza hotuba ya Rais Dkt.Shein aliyoitoa hivi karibuni.
Wadau.Wanahabari kutoka Unguja wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo. 5 
Umati wa Vijana kutoka mikoa Mbalimbali ukiwa kwenye mkutano huo wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Magogoni kwa Mabata.
PICHA NA MICHUZI JR-UNGUJA ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...